KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 11 May 2015

WHATS NOW ? OUR EVIDENCE '' YANI HAPA MANGE UJUE HAKUNA KITU KITAKACHO FUTWA ''LAZIMA TUKUKOMESHE AISEE''

COULD ZARI’S BABY DADDY BE ONE OF TANZANIAN’S MOST SUCCESSFULL MARRIED MEDICINE DEALERS???

Jana One of my friends  kanimbia eti kuna mtu (jina kapuni) kamuuliza hivi Mange mbona toka aache urafiki na wale  shoga zake amedata sana? yani anaongea haogopi , nikamwambia uwii ungemwambia nilikuwa nimedata siku zooote ila ni kwamba siku zile nilikuwa siko free now im free. Jamani mnajua kwamba hamjui na hamuelewi nyie, jamani nilikuwa nna blog kwa mawazoooo ndo maana siku zile nilikuwaga nnaweka topic na kutoa kesho yake au baada ya dakika 5…Jamani nilikuwa nikiweka topic ya mtu huyo mtu hadili na mimi ni rafiki zangu, chief walikua hawalaliiiiiii, ni simu za malalamiko ongea na shogako anitoe najua wewe ukiamua anitoe atanitoa, so imagine vile mie nilivyokuwaga nawapenda shoga zangu aniambie kuwa pls mtoe flani kanipiga inabidi niwe mdogo nitoe…
Yani sometimes mpaka wakawa wanagombana na watu maana mtu anamwambia yeye hakuniambia nitoe angeniambia ningetoa..Jamani ilikuwa ni issue..Yani sasa ilifika sehemu kabla sijaandika mtu nawaza huyu anajuana na shogangu yupi inabidi niache maana najua balaa lake, na vile sasa nilikuwa namashoga utitiri basi kila atakaeotokea humu lazama analink ya mimi through one of my friends…Nikisema niwe strong nikae kutoa basi nanuniwa na mashoga,chief ilikuwa ni mtihani…Yani nyie acheni naienjyo sana sasa hivi siko nao yani naandika nachotaka kwa raha zangu and I have no one to answer to….My friends nilionao sasa hivi hawana maisha ya mujini hawajuani na watu na wanaojuana nao sio watu wa mascandal …Si now full kujiachia…..hahahhahaha… So jamani I have changed kilichobadilika ni situation yangu tu…
Kabla sijaambiwa hater click link hii hapa
Mie nilichofanya ni kuwaongezea vijinyama nyama tu ambavyo hilo gazeti wameogopa kuandika coz i know they know…
Basi Huddah alivyonichamba juzi shoga mtu akaingilia…HAHHAHAHA LEVELS LEVELS,YESSSS LEVELS NDO MAANA YOU DATE MARRIED MEDICINE DEALERS…HAHAHAH LEVELS….MMEWAONA HAWA WANAOWAPONYESHA  WATOTO WENU WAKIWA WATEJA HAWA NDO WATOA ILE DAWA YA REVERSAL SIJUI INAITWAJE…EEH?HAWAJALIIIII AS LONG AS WANAHONGWAAA…..HAHAHA….LEVELS NDO HIZO BEING INVOLVED IN THE MEDICAL MEDICINE BUSINESS….
Jamani mkisikia watu wanaongea sana ujue kuna kaukweli, watu walikuwa wanatuma comments humu
kuwa mtoto wa Zari ni wa Katunzi watu wakawa wanapiga kelele ooh sio ni wa DAI…
Hivi nyie kweli hamjiulizi jamani hawa wawili they met mpaka tunaambiwa bahari za mtoto they hadnt even spent more than 1 week together jamani. Yani walikuwa ni vile 3 days wanaonana kwisha, yani less than 2 months into the relationshipn wana announce mimba…
Watajijua mtoto wa nani but Diamond akafanye DNA just kuepuk suspision za fans wake ,ndugu zake na taifa kwa ujumla….Maana you can see huyu dada alikuwa anatafuta a Tanzanian sponsor at any cost……….
Team Zari kazi kumsulubu mtoto wa watu  anatembea na waume za watu huyu Katunzi ni single? mke wake nimesoma nae chuo wanawatoto watatu.  Ladies  never ever alika malaya in your house, aliemuintroduce Zari kwa Katunzi ni Sintah na huyo huyo Sintah alikuwaga anaalikwa nyumbani kwa  KATUNZI na mkewe for parties… ona sasa mnaalika wanawake kwako kwenye party kumbe wanammendea mumeo..njaa bwana…NA HAPO ukute bibie alivyowekaga zile picha za party shogake akaona akawambia nipelekea kwa mwenye hiyo nyumba maana hata wewe usie na akili embu fiiria Zari angekutana wapi na Mzamil kama sio kwamba alipewa dili na Sinta??
Mzamil and his beautiful wife Getrude….. Wanaume jamani hivi hawaridhiki? Yani ana mke msomi ana madegree, mzuri kwenda kuhangaika na mainternational gold diggers,,,,eeeish… Jamani…ubosslady ni kazi kumaintain jamani…at anycost, kwa drug dealers poa, kwa underaged boys poa ili mradi usurvive…ni shyderrrrrrrr
Uwiiii umbea unasaidia sanaaaaa,…Hivi mnakumbuka kipindi kile Chagga Barbie anachambana na Zari akaweka hii picha alafu
akasema Mr.TZ, itakuwa aliogopa tu kumtaja jina,basi siku ile ile niliambiwa ni Mzamil huyo muweke nikasema bwana hayanihusu mpaka nimtaje, ila kwa vile leo lishabumbulika  nikaona why not….
Haya sasa leo naomba tuone How fair you Tanzanians are  haya Zari huyo in a public place na mume wa mtu mwenye watoto wadogoooo wanapigana madenda, sasa tuwaone leo maadili yenu wanafki wakubwa wa instagram mnaojua uchungu wa mume……Maana LULU mlimsulubu kama Yesu leo tuwaone….
Haya 2 weeks huko instagram watu mlivaa chupi kichwani kumsema Lulu kuwa anafanya hivi na mume wa mtu hadharaniii
sasa si bora hata hii picha ya Lulu jamani…sasa tuwaone leo kama mtajifanya mnajua maadili na uchungu wa mume tuwaone kama mtamchamba zARI MLIVYO wanafki…mfyuuu..ehhh nyie sinamsema mtu asichukue mume wa mtu, mkamchamba lulu kidogo acommit suicide sasa leo tuwaone huko insta mkimfanya zari mlichomfanya Lulu…Kwa watanzania wenzenu midomo mirefuuuuu kuwatukana tuwaone leo kwa mganda kama mtamgusa….mfyuuuu…Ndo kwanza utawaona wanaenda kumpa moyo “donti mind Zari ,zey are jelus” na viinglish vyao vya mtakuja primary ila kwa Lulu walijua kuchamba kama hawajapiga mswaki wiki nzima
Alafu sasa mwanamuziki wenu atapotea ona mwanamke wake alipotoka then straight to Dai straight mimba which means hawakutumia protection….Huuu mzunguko ni mrefu….Wema pls usirudi huku utaja kufaaaaaaa…….eeesh….
Haya oooh bora ZARI  anatembea  na kijana mdogo na sio mume wa wa mtu ? hahahahhaha mbona alikuwa kimada sana ?? na amekutana kwenye ndege na dai wakati anakuja Dar kwa ticket ambayo alinunuliwa na Mzamil ndo hapo hapo akahamia kwa Diamond…DAH…..Wanawake loose jamani…shidaaaa…imagine unaenda kwa bwana njiana unahamia kwa bwana mwingine…Na niwaambie kilichomfanya Zari kumwacha katunzi akahamia kwa Diamond although Mzamil is a billionare (tsh) ni sababu sababu  alijua Mzamil will never ever leave Getrude, mkewe mzuri hana makuu na sio mtoto wa mjini  na Mzamil anawaambiaga kabisa mademu ujue nafasi yako siachi mke wangu, so bibie alivyo despatare abaki boss lady akakubali kuwa hawaraaaa…hahahahha..jamani njaa mbwaya sasa zile family trust fund zinakuwaga wapi mpaka akachuliwe na wauza unga tena wameoa???  KUMBE bibie safari za bongo alianza zamani ila ni vile alikuwa anakuja kwa mume wa mtu inabidi asipublish…..hahahhaha
Kha, watu kwa kujifanya decent alafu kumbe hamna kitu…
Jamani huyu mtoto wa ZARI ni EAST AFRICAN PRINCESS ni mwanetu wooooooote sio wao tu. Huyu ndo blue IVY wetu so tunaomba tuhakikishe kuwa hatujaibiwaaaaa tunaomba open DNA test ifanyike maana maisha ya kuishi tunaangalia viungo vya princess muda wote tunavifananisha na vya Katuzi ni magumu…….Mtoto atakuwa akitembea hhivi watu wanasema eeh mbona anatembea kama  Mzamil.Embu tunaomba DNA test ….
OOOH YEah back to the medical medicine dealer thing… Sio siri ni REVOLA…..
Na kama mnavyoona Zari hajali nae atalala na medical dealer  tena ambae kaoa eeh na ffamilia yake ili mradi awe na status….Hivi unajua watu sio waoga jamani hivi unaingia kitandani kabisa na one of the very big bosses of the medical medicine business in the country?huogopi?kisa uweke picha insta wewe ni bosslady…eeeish!!
UWIIIIIIIII, NAOMBA KUSEMA UWIIIIIIII HIVI KUNA MTU ANAJUA NYUMBA YA HUYU KATUNZI
UWIIIIIIIIIII, HAKUNA NYUMBA KAMA HIYO TANZANIA NZIMA ….UWIII KAMA HIYO SIJAIONA…
HAHAHAHHAHAHA,SASA MUULIZE ANAFANYA BIASHARA GANI YA KUMPA JUMBA LILE AMBALO JK MWENYEWE SIDHANI KAMA ATAKUJA KUOWN MPAKA ANAKUFA ATAKWAMBIA ANA MASCANIA SIJUI EXPORT AND IMPORT USHUZI MTUPU…EEISH…NISHAWACHOKA HAWA WATU WA UNGA….
MENGI NA UTAJIRI WAKE HANA NYUMBA INAYOFIKIA  JUMBA LA HUYU BABA…NA HAPO MENGI NDO ANA MABIASHARAHA HAYAHESABIKIIIIIIII, MAGAZETI KARIBIA YOTE YAKE, SIJUI NINI NA BADO KLYN HAISHI KWENYE  JUMBA KAMA HILO. HUYU MWENYE SCANIA SIJUI NA NINI HATA KWENYE FORBES LIST OF MILLIONARE KAMA MENGI HAYUPO ILA JUMBA LAKE BALAAAA…
AND NOBODY QUESTIONS HIM HEEEEEY…
ONLY IN TANZANIA.GOODNIGHT
PS: MWAKA HUUU NTAUWAWA JAMANI……..JAMANI SERIKALI NAOMBA ULIZI KWA FAMILIA YANGU HUKO DAR JAMANI’
NAWAFANYIENI KAZI YENU. PELEEKENI WANAJESHI KWA NDUGU ZANGU WOOOOOOTE WASIJEUMIZWA THEN NTAWATAJIA MEDICAL DOCTORS WOOTE….
UPDATE…
UMbea umeanza kunishindddaaaaaaaa…. JAMANI JAMANI JAMANI
Kikulacho ki kinguoni mwakooooooo,
Kuna mdau kanistua whatsapp kaniambia hivi Mange ni kwamba hujaona kuwa ile picha ya mzamili na mkwe sintah kamuweka comment mke wa Mzamil??? Uwiiiiiiiiiiii huyu ndo mwanamke ambae kutwaaa kumsimanga Wema Sepetu kuwa Malaya sasa jamani niwaambieni bora uwe malaya kuliko mnafki, muuaji,maaa Sintah ni muuaji, oneni anavyojifanya urafiki na mke wa Mzamil mpaka picha zake na mumewe ana comment kumbe behind the scenes anamkuwadia mumewe,mpaka nyumbani kwao anaenda anajifanya rafiki kumbe kubwa la maadui…
Na kwa habari zilizonifikia jioni hii ni kwamba mtoto wa Sinta pia ni wa Mzamil, uwiiiiii jamani mimi nimechokaaaaaaaaaaaa,
yani mnazijua zile za kwamba janaume halikupendi hata kidogo linakuchukulia kama rafiki ila sometimes unampa uroda ili tu akusaidie shingi mbili ila hata time na wewe hana na huyo mwanaume  huwa anakuambia umtafutie wanawake ,ndo bibie kiruuuu,nimechokaaaa,
I hope hii story ya mtoto wa Sinta ni ya uongo jamani, maana mie mwenywe sina uhakika nayo staki nimshuhudue mimba za majanini uongo…. Jamani sasa ndo mjue kwa nini watu wanafichanga mimba mienzi 9 na watoto wanalokiwa na vitasa ndani kwao ni vile mkiwaona sura zao mtawajuwa baba zao alafu kitanukaaaaaaaaa………Mweeeeh, so yawezeka mtoto wa zARI NA WA sINTAH NI AMTU NA KAKAKE??? JESUSSSSS COME BACK PLSSSS…NIMECHOKA KABISAAAAA…
''MBUTA NANGA''
NIA YANGU YA KUHIFADHI HII HAPA NI KWAMBA WANAANDIKAGA KUCHAFUA WATU NA HALI YA HEWA KWA MASAA AU DAKIKA ,ALAFU BAADAE WANAFUTA WAKISHASIKIA KIMENUKA''SO HAPA HAKITOFUTWA'''

No comments:

Post a Comment