KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 22 November 2014

WHATS NOW? FLORA LYIMO HOW TO LOOK SEXY AT HOME ALBUM 2 '' YANI HIVI IKIWA WEWE NI ONE OF MY BIG HATER NA MMEO AU BOYFRIEND WAKO AKIKUNUNULIA FLORA LYIMO HOW TO LOOK SEXY AT HOME''CHUPI ILIYO ANDIKWA (I LOVE FLORA LYIMO ) UTAFANYAJE ? MBUTA NANGA!!









HAPANA CHEZEAAAAAA''EEEEeeeeeeeEEEEEEEE'MBUTA NANGA''MWINGINE BAADA YA MIAKA ELFU '''
Jamani ni hivi '' Maisha ni yangu na nafanya nipendayo na niwezayo na ikiwa maisha yangu yananipa raha mimi wewe ina huuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu''hapana kabisa maisha yangu hayakuhuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu''
SASA FLORA LYIMO TZUK '' Anasikitika kwa wale wanao pata ugojwa wa MANGE''(By the way Mange ni gonjwa mbaya la kujikuna kuna vibaya kwa maubwa na hata kwa wanadam'') just Google (MANGE) So usije patwa na hilo gonjwa kwa Flora Lyimo kufungua just one SHOP AT MTAA WA MAPESA OXFORD STREET LONDON '' Sasa Mwezi ujao nafungua Duka lingine na lenye Dili za kutosha na za kuwauwa haters wangu wote'' yani sijui mtakufa kufaje ,,Ila naomba hilo gonjwa la Mange lisiwauwe kabla hamjaona maduka yangu yote'' yani mwaka huu yatakuwa mawili in UK TOPS MITAA'' NA NITAKAPO FIKISHA KAMA HAMSINI HIVI ''JE ? RUWA MANGI ''UZIDI KUNIBARIKI BABA''YANI KILA ANICHUKIAE NA CHUKI LAKE LIWE ONE SHOP NA BARAKA TELE''
Anyway '' FLORA LYIMO TZU ..HER FIRST SHOP LIPO MTAA WA MAPESA(Flora Lyimo ) Mwenyewe niliamua kuuita huu mtaa maarufu Duniani Mtaa wa Mapesa kwa sababu ya mapesa yanayo kuja kutumika madukani hapa'' 
Na ina semekana kwamba'' £1BN CHRISTMAS SHOPPING SPREE..
Yani WEST END SET FOR SPENDING RECORD AS THE FEELGOOD FACTOR RETURNS.
NA KINA FLORA LYIMO TZUK 'WAPO TIYARI KABISA KUPOKEA MIHELA HIYO ''RUWA MANGI''
MWAKA HUU 2014  MATUMIZI YA XMAS IN MTAA WA MAPESA NA WEST END YOTE'' Ina tarajia kupokea £1 Billion barrier for the first time mwaka huu as confidence in recovery gathers Strength'' I just cant wait ''kwani jamani tumejiandaa vya kutosha na tumepoteza mihela mingi sana kwa kulipa bili za duka na kununua mizigo na kukaa kwa muda mrefu bila ku nunuliwa''
Hii ndiyo CENTRAL LONDON ...YANI UKISIKIA CENTRAL LONDON OGOPA KABISA''YANI KILA KITU NI GALI MNO '' HASA HIZI THREE PREMIER SHOPPING THOROUGHFARES..OXFORD STREET ,REGENT STREET ,BOND STREET NA HATA CHARING CROSS ARE BRACED FOR UP TO 40 MILLION VISITORS OVER THE NEXT SIX WEEKS'' WHICH ALSO HIZO WEEK SITA NA MIMI NITAKUWA NIMESHA FUNGUA DUKA LANGU KUBWA NA BORA ZAIDI KWA MAVAAZI YA KINA MAMA'' RUWA MANGI BARIKI FLORA LYIMO TZUK AJULIKANE ULIMWENGU MZIMA AMEN''
Shopping is also expected to be  boosted by Christmas Day falling on Thursday this year '' 'with Bosses predicting a last -minute mid-week surge- while Men are still expected to leave shopping until Christmas Eve.Hheheee'' Kina Mama /Dada mnasubiriaje kupewa Flora Lyimo how to look sexy at home for Xmas ? MBUTA  NANGA'' Alafu akununulie I LOVE FLORA LYIMO ''' Alafu ukute wewe ndio mmoja wa my big HATERS'' hhahahhahaaa'' ni SHIDA'''
Alafu kama ulikuwa hujui '' New York's Fifth Avenue is the most Expensive Shopping location in the world .Sasa Yule Mama Baboon aka Muke ya muzungu na majigambo yake yotee'' kama kweli ana pesa na anajiona ndie wakuwatukana watu na kuwaonea wivu na maisha yao na bahati zao ,ni kwanini yule mzungu wake hajamfungulia Duka hapa New York Fifth Avenue mtaa wa mapesa''au hata mitaa ya walala hoi ? Yani mama andika mwaka huu ni wako wakufa baada ya kuhesabu bahati za wenzako na mawivu yako'' sasa Duka la Flora Lyimo TZUK ndiyo kwanza kafungua limoja na sasa yupo Mbioni kufungua la pili na matusi yote hadi kumuandikia diary kwenye blogu nuka yako na kumuita baboon mara kichaa mara hili na lile ''hujiangalie na mababoon wako alafu ukajionea aibu na kujificha ? yani tena upotee kabisa usionekane'' why mwanamke unakuwa na Roho ya waya za umeme namna hiyo ? jamani WIVU NI GONJWA MBAYA SANA '' EPUKENI ''JIFUNZENI KUPENDA MAENDELEO YA WENZENU NA IKIWEZEKANA WAULIZENI WANAZUBUTUJE ? ALAFU NA WEWE USIOGOPE KUZUBUTU'' KUPATA PESA NI KUTUMIA PESA'' RUWA MANGI''
NA HII PIA NDIYO MITAA YA MAPESA DUNIANI '' JE ULIKUWA WAFAHAM ?''
West End is now the busiest retail destination in Europe -with spending last year topping £8.5 billion,ukilinganisha na Paris at £7.7.Million and Madrid at £5 Billion'' Na hiyo ndiyo sababu Flora Lyimo owner of FLORA LYIMO TZUK kaamua kuifuatilia ndoto yake na kuhakikisha anaitimiza kwa kufungua Duka lake na kuipeperesha Tanzania yake hapa mtaa wa mapesa Oxford Street ''ni gali yani huwezi kuamini kwamba bili yake ya miezi miwili peke yake ingemjengea mtu nyumba Bongo ya kawaida na kuishi sasa hivi ''lakini Flora Lyimo haja yake kubwa ni KUITIMIZA NDOTO YAKE YA MIAKA 39'' YANI SASA HIVI PIA YUPO MBINI KUFUNGUA LA PILI NA MADILI MENGI MENGI KIBAO '' JUST BE PROUD OF FLORA LYIMO TZUK '' AND SAY AMEN'' MUNGU NDIE MAMBO YOTE'' YANI ANAWEZA KABISA''

LINGINE ULIWEKE KICHWANI '
New Bond street London ni the Fourth most Expensive shopping street in the world ,with Rents of £775 per sq ft-up 4.2 per cent on last year . Bila kusahau Hong Kong ambao nao walikuwa top spot for the first time tangu mwaka 2011 na sasa wame pitwa na New York ''so muke ya muzungu aka mama baboon fanya uache wivu uanze kumbembeleza mzungu wako akufungulie duka hapo fifth Avenue ..Ili uweze kujilinganisha na Flora Lyimo na kuacha kumuita Baboon kisa kakuzidi '' na kabarikiwa na ukabahatika kuyaona mafungu yake na baraka zake Mwenyezi Mungu lizombariki nazo na kuzionyesha hadharani''MBUTA NANGA''

2 comments:

  1. Mbuta Nanga,kweli wewe ni wa matawi ..na una moyo wa malaika haswa'' thank you kwa kutusaidia mama hunijui na sijawahi kuniona ila flora umenisaidia sana kwa mkopo wako ..jamani kwanini umeacha....mimi nipo tiyari kufanya kazi na wewe'' biashara yako yakutukopesha mikoba tuuze tukurudishie pesa baadae flora iliniinua sana mimi na wanangu...Mungu azidi kukubariki wewe wachana na yule mange ni mtu mwenye wivu sana..hivi hujawahi kujiuliza yeye ni mke wa mzungu kesha fanya nini kwenye jamii zaidi ya kwenda kutafuta pesa kupitia watoto yatima' wewe ukae majuu bado unahanya hanya na mabox'' kiruuuuuuuuuuuuu'''

    ReplyDelete
  2. Malaya weka wazi tuone

    ReplyDelete