KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 25 October 2014

WHATS NOW ? MSHINDI WETU WA ZILE PESA ZAHALALI ZA TANZANIA TZSH.50.000 NI HUYU HAPA'' JAMANI MSIKOSE INSTAGRAM YA floralyimoshionpoliceblog KWA ELFU HAMSINI HAMSINI ANYTIME''KILA WAKATI MUDA WOWOTE NITAKUWA NAWEKA SHINDANO LA KUJINYAKULIA ELFU YAKO HAMSINI TU'' KWA ATAKAE KUWA WA KWANZA TU''MBUTA NANGA!!

SHINDANO LETU KULE INSTAGRAM ''LILIKUWA KAMA MNAVYO ONA HAPA ''


FLORA LYIMO TZU , FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG'
Yani nasema hivii'' KILA MZARAU KITU '' BASI KILICHOPO HUJITOKEZA NA KUMFANYA AJUTE KWA JEMA AU BAYA'' MBUTA NANGA''
Kwenye hili shindano letu ''kuna wengi zaidi ya mia moja walipenda na kuna wachache zaidi ya 30 waliingia shindano hili '' na hapo hapo ''Mmoja alie elewa maana ya SWALI '' aliweza kujibu bila kujali atakuwa wa kwanza ,wa kati au wa mwisho na matokeo yake '''Ni yeye mmoja tu ndie alie jinyakulia hizi shilingi HAMSINI ELFU '' Sizinatosha MSHAHARA WA MFANYAKAZI WA HOTELINI EEEE'' Kwa mwezi ''( IN TANZANIA ?) Basi wewe bila kujitilia Uvivu '' harakisha kumfuata Flora Lyimo ''Instagram ''follow >>floralyimofashionpoliceblog ILI USIWE UNAPITWA KWA
''ELFU HAMSINI HAMSINI ''Ambazo FLORA LYIMO ATAKUWA ANAZIMWAGA KULE ''KUSHINDANIWA  KWA AKILI ZAKO NA BAHATI YAKO''
SASA BASI ..MSINDI WETU WA HII ELFU HAMSINI AMBAYO NI YA MARA YA PILI SASA ZIMESHINDWA TANGU FLORA LYIMO aanze kumwaga kule Instagram ''ni'' 
THE WINNER IS >>>>grcy-
CONGRATULATIONS MY DEAR'' HONGERA SANA ''WEWE NDIE MSHINDI WA ELFU HAMSINI YA MAVAAZI YA SUPER STAR'S HAWA 'WAWILI WALIOVAA MAVAAZI HAYA NA KUYATANDIKA KITANDANI BILA HATA KUAMBIANA''
Yani yeye aliweza kujibu ipasavyo ''mkiangalia vizuri kwenye hizo comments mtaweza kuona wachache wenu mlipata ila hamjaweza kujibu kama nilivyokuwa nimeandika'' 
KING ALI KIBA AND QUEEN FLORA LYIMO ' Mavaazi yao ya JUMAMOSI TAREHE 18-10-2014 IN UK AND IN TZ''
My dear grcy - NAOMBA UNI INBOX AT INSTAGRAM YOUR PHONE NUMBER ILI NIWEZE KUKUTUMIA PESA ZAKO ''MMPESA ILIYO KAMILIKA TZSH 50.000..
ASANTENI SANA NA KARIBUNI TO FOLLOW FLORA LYIMO ''
INSTAGRAM :floralyimofashionpoliceblog

No comments:

Post a Comment