KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 16 April 2014

BY FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS~SEHEM YA KULALIA NA KUKALIA KIGODORO IN UK MAELEZO YOTE SOMA HAPA!!

 Siyo ya kukosa kabisaaa''Jamani mambo mapya Uingereza ''Thanks to our super Star Dida's  Entertaiment' Yani yeye ni Wacha kazi ziendeleee'na tuwajue Mastar wetu na kazi zao '' you know I AGREE with her Bega kwa Beg'' She is the Only Tanzanian -UK anaejali Wasanii na Watanzania wote kwa ujumla wanao jishughulisha kwa Kazi '' Yeye ana hakikisha hata kama umeanza kuuwasha moto wako ndani na ukakosa kuni au mkaa mwingi wakuufanya Moshi utoke kwa wingi na kusambaa Dunia nzima'' She will come and Help you kuongeza Mkaa na Kuni '' na Moto kuwaka zaidi ''watu wanaonaje Moshi kwa wengi sasa'' Dida 'Mungu azidi kukubariki Uzidi kuwa na Nguvu za Kupaaza kazi za Watanzania wenzako na za kwako vile vile  '' Tujifunzeni kutoka kwa Dida na Wale wengine wote ambao wanafanya Kazi na Siyo matusi kila kukikucha mitandaoni'' Stay Bless na KARIBUNI TO SUPPORT OUR SUPER STAR 'DIDA' NA MASTAR WENZAKE KUTOKA TANZANIA NA WENGINE HAPA HAPA UK''
Habari ndiyo hiyooo mmeona na mmesoma ,si ndiyo eeee''see you there in person or in TV LIVE ''Mbuta Nanga!!

Haya Coventry kaeni mkao wa kula Kigodoro hichooo. Na anae taka Dira la Kigodoro inbox me,or call me on 07556171941  yamebaki machache sana madira ya sare. Tarehe 26 April Kuanzia 18.00 PM till kuchweeee, hakuna kulala mwendo wa vigodoro na viduku tu. Dare to miss this. Wanaume kwa wanawake, ni mambo ya kukata nyonga tu.
HABARI NDIYO HIYOO''KANTANGAZEE
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

                            ''sasa ona nishamlilisha''mbuta nanga''
Didas Facion Turabi Nashindwa hata niseme nini, kwanza machozi yamenitoka nilivyo soma. Asante sana my mbuta nanga Flora Lyimo, be blessed my dear, mwanamke shupavu na jasiri. Pamoja we can, na haswa tunapo ondoa majungu na kuamua kufanya kazi basi kazi zitaendelea na wanawake tutajiwezesha. Shukran sana mamie.

No comments:

Post a Comment