KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 3 April 2013

BONGO MOVIES WEDDINGS MAHARUSI WENYEWE NDO HAO KUPA & JIMMY(ALBUM 2) MORE MAKAKAS IN HERE!!



 Maharusi ndo hao kwenye picha ya pamoja" sasa hizi Nguo za Harusi Dress my dears Siyo wote na siyo lazima mvae nguo za harusi za kuishia kifuani 'mbona msivaa za mitindo ya kuendana na miili yenu ,yani 88% ya maharusi hii ndo mitindo yao wanayoivaa most wedding's  Don't know why they all go for the same design(mishono)strapless gown" yani wewe check wa kulia alivyopendeza why kwa sababu ya shape yake yani yeye hana shape ya round na ndo maana hata anaonekana mrefu ,hasa mabegani" sasa wa kushoto ana shape ya round' hiyo nguo siyo yakuendana na shape yake kabisa na ndo maana imemvaa badala ya yeye kuivaa" I wish angejitizama kwenye kyoo kabla hajaamua kununua hii nguo,but in sure she did,,ni hakujua au kaponzwa na alokuwa anamsaidia kuchagua ,Harusi siyo kitu cha kufanyiwa fasta fasta maana is going to be one day and one day only" kwa hiyo my dear take your time na kuzingatia haya yafuatayo "
Wedding Dress" This is the most common areas where brides sabotage their appearance are:
Zingatia Your Choice of fabric..siyo vitambaa vyote vinaendana na miili yetu" our shape hatuna maumbili yaliyosawa"
The width of your gown ..usije ukajikuta gauni lako lakuvaa badala wewe ulivae na pia likakufanya uwe kama una mimba na huku huna ujaauzito wowote'And hata kama ukiwa na ujauzito usivae nguo yakukuongezea ujauzito'vaa kwa kipimo cha ujauzito wako"
Mwisho kabisa the amount of embellishment on it"isiwe na miurembo rembo mingi na pia angalia isije ikawa ile inayoonekana cheap.cost you lots of money but look cheap.AVOID AND ZINGATIA"
 Hahahaa I love it..hayo Macho kaka imekuwaje..yani mpo kimovie movie "Anyway Mungu awalindieni hizo ndoa zenu my dears"


 Kicheko kinasema nyote,sina lakuongezea" Mungu awalindieni hizo Ndoa zenu my dears"

 Ray the Greatest ndo huyo kushoto,my dear Kaka hizo nywele yani hapa natamani sijui nizifanyeje',umezifanya zikawa kama sijui za kitoto kichanga kinazaliwa vile,alafu mwenyewe mtu mzima na hivyo vindevu tena,,Mbuta nanga" alafu umeva shirt lako vizuri hilo jacket ni lanini sasa na siyo la kuendea harusini kabisaa ni lakuendea kwenye Nyama choma ,angalia ulivyo mchafulia huyu mwenzako pembeni sasa" that's how to dress kama kiharusini vile" I wish nije hapo nikubadilishie your wardrobe for good,,I like you' unavyojituma na endelea kujituma na kutenda Mema hasa kwa Nchi yetu ..ila hizo nywele usifanye hivyo tena please! Mbuta Nanga"
 Hawa nao wapo uchumbani na walipendeza walijua kuvaa japo kiharusini" na I hope yakwao which can be soon watazingatia hayo niloandika hapo juu" na muhakikisheni mmeweka dress code na asiyekuja bila dress code na akaja kiovyo ovyo asiingie ukumbini" hahahhaa" Mkifyonza hakikisheni nimewasikia,jamani your Flora Lyimo Fashion Police'Love nyie and want msimame kwenye mistari ya Mbele kimavaazi na kivyote vyote Hollywood way"
 Walopotea njia ndo hawa bado wapo njiani watafika in no time,, Mbuta nanga"


Here he is,mwamuona Kaka letu katikati eee yani HE IS THE BEST ...KUCHEKA,KUVAA TO ACT,Yani sijui hata niwaambieni nini tena ila huwa nampenda sana kwa Kicheko chake yani hapa mwenyewe namtizama nachekaje sasa." Hivi jamani KAOWA AU BADO..Mbuta Nanga" kuuliza siyo ubaya eee"
Anyway hope next time kwenye Harusi zenu na kwenye mikeka mekundu mtajua kuvaa vyema na ipasavyo zaidi,,Kaka JB " atawafundisheni kabla hamjaonekana na Fashion Police!!
AND THANKS FOR THE PHOTO'S MY DEAR" NICE TO SHARE THEM "FLFP"

1 comment:

  1. Mke wa JB ndo huyo hapo pembeni yake. Anaitwa Winnie

    ReplyDelete